Baada ya kusambazwa kwa picha hii ya askari waki-kiss, Jeshi la polisi
latoa Tamko
meaminika kuwa wawili hao ni Trafick kutoka mkoa wa Kagera, na kwa taarifa zilizopo sasa ni kuwa tayari Jeshi la Polisi Kagera limechukua uamuzi wa kuwafukuza kazi askari hawa wawili pamoja na askari aliepiga picha hii kupitia simu yake ya mkononi.
No comments:
Post a Comment