Waziri MUHONGO amesema kwa sababu nchi inataka kukuza uchumi ikiwemo suala la ujenzi wa viwanda hivyo ni lazima umeme nchini uwe wa uhakika na wa bei nafuu katika maeneo yote nchini mijini na vijijini.
Ameeleza hayo katika Kikao cha Kazi Kati yake na wapiga kura wake kutoka vijijini 68 lengo ni kujadili masuala ya uchumi na maendeleo katika jimbo la MUSOMA Vijijini
No comments:
Post a Comment