Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Utumishi na Utawala Bora, Angella Kairuki amesema waajiri wasitegemee Serikali kuruhusu kuendelea kutoa mikataba kwa watumishi wanaostaafu
Ataka mtu akishastaafu aachie vijana wenye uwezo, sio kuongezewa mkataba wakati kuna wengine wenye uwezo
No comments:
Post a Comment