Monday, December 07, 2015

TCRA YAANDAA MFUMO KABAMBE,KUDHIBITI WEZI WA SIMU

 Shirika la  Mamlaka ya Mawasiliano nchini TCRA,lipo mbioni kuzindua mfumo wa rajisi wa namba za utambulisho wa simu za kiganjani (CEIR), ambapo mfumo huo unauwezo kuifanya simu iliyo ibiwa,kuupoteza au kuchukuliwa bila ridhaa kutotumika tena.

Watu mbali mbali wametoa maoni kuhusiana na mfumo huo na kuitaka mamlaka ya TCRA kufanya haraka iwezekanavyo ili kutibu kilio cha muda mrefu cha wizi wa simu.

No comments:

Post a Comment