Tuesday, December 22, 2015

Serikali imewaonya wamiliki wa shule binafsi wanaondelea kutoza ada ya kujiandikisha pamoja na michango mingine, kuacha mara moja.

Serikali imewaonya wamiliki wa shule binafsi wanaondelea kutoza ada ya kujiandikisha pamoja na michango mingine, kuacha mara moja.

Kuhusu ada elekezi, Serikali imesema itakuwa na kikao na wamiliki wa shule ili kujadiliana ni kiwango gani kitakachofaa na kisichowaumiza wananchi.

Wakati hayo yakiendelea, Mkurugenzi Msaidizi wa Elimu ya juu, Jonathan S. Mbwamba, ameendelea kusisitiza kuwa wanafunzi wote waliokidhi vigezo vya kupata mikopo watapatiwa mikopo hiyo. Idadi ya wanafunzi wanaopata mikopo imeongezeka kutoka 13,582 hadi 53,032.

No comments:

Post a Comment