Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi STELLA MANYANYA ameiagiza bodi ya mikopo ya elimu ya juu nchini kuhakikisha
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi STELLA MANYANYA ameiagiza bodi ya mikopo ya elimu ya juu nchini kuhakikisha wanafunzi walio kwenye orodha ya kupatiwa mikopo wanapewa fedha wanazostahili ifikapo kesho Jumanne ili waweze kuendelea na masomo.
MANYANYA ametoa agizo hilo katika ziara aliyofanya katika bodi hiyo na Tume ya sayansi na teknolojia-COSTECH na Tume ya Vyuo Vikuu –TCU jijini DSM
No comments:
Post a Comment