Tuesday, December 15, 2015

Bodi ya mikopo yaagizwa kuwalipa wanafunzi

Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi STELLA MANYANYA ameiagiza bodi ya mikopo ya elimu ya juu nchini kuhakikisha


Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi STELLA MANYANYA ameiagiza bodi ya mikopo ya elimu ya juu nchini kuhakikisha wanafunzi walio kwenye orodha ya kupatiwa mikopo wanapewa fedha wanazostahili ifikapo kesho Jumanne ili waweze kuendelea na masomo.
MANYANYA ametoa agizo hilo katika ziara aliyofanya katika bodi hiyo na Tume ya sayansi na teknolojia-COSTECH na Tume ya Vyuo Vikuu –TCU jijini DSM

No comments:

Post a Comment