Tuesday, December 15, 2015

ALICHOKIBAINI LEMUTUZ KUHUSU DKT MWAKA


STRAIGHT TALK:- Ok guys kama nilivyosema ninarudia tena Dr.Mwaka ni rafiki yangu na ni my Client ni mtumzima mwenye akili timamu sijawahi kuwa na sababu ya kum doubt leo nimemtaka in private anihakikishie kwamba hizi tuhuma si za kweli na AMEFANYA HIVYO amenitumia kila kinachotakiwa Ku prove tofauti na kila anachotuhumiwa.
Nilitaka kujiridhisha na so far nimeridhika ana kila anachotakiwa kuwa nacho kufanya yote anayoyafanya…nilitaka kuweka wazi hilo tu NIMERIDHIKA unless nije niambiwe tofauti again nitasema…again sijawahi kumkimbia rafiki akiwa kwenye matatizo NEVER…in my life huwa sijibizani na yoyote anayemuhusu ndugu yangu wa damu NEVER maana nitakuwa namvunjia heshima anayemuhusu na siwezi kugombana na damu yangu kwa sababu ya MTU wa kupita hapana.
Sasa imebaki Naibu Waziri  na again ninamtakia heri na niaamini UKWELI UTAJULIKANA WOTE TUTAKUWA HURU makosa ni kumuhukumu MTU bila FACTS just because Fulani kasema kama ushahidi WOTE alionipa Dr. Mwaka ni wa kweli basi TUTAKUWA na aibu ya the Century by leo jioni

No comments:

Post a Comment